Latitudo : Tofauti kati ya masahihisho
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: sq:Gjerësia gjeografike |
d roboti Nyongeza: lo:ເສັ້ນຂະໜານ |
||
Mstari 52: | Mstari 52: | ||
[[lb:Breedegrad]] |
[[lb:Breedegrad]] |
||
[[ln:Monkɔlɔ́tɔ mwâ libale]] |
[[ln:Monkɔlɔ́tɔ mwâ libale]] |
||
[[lo:ເສັ້ນຂະໜານ]] |
|||
[[lt:Platuma]] |
[[lt:Platuma]] |
||
[[lv:Ģeogrāfiskais platums]] |
[[lv:Ģeogrāfiskais platums]] |
Pitio la 07:53, 19 Januari 2011
Latitudo (kilatini: latitudo) ni njia ya kuonyesha mahali duniani kwa kutaja umbali wake kutoka ikweta kwa kipimo cha digrii (°). Mahali kwenye ikweta kamili (kwa mfano Nanyuki katika Kenya) ina latitudo ya "0". Mahali pa mbali ni ncha ya kaskazini au ya kusini zinazotajwa kwa 90°. Pamoja na kipimo cha longitudo inataja mahali kamili duniani.
Latitudo za kaskazini na kusini ya ikweta zinatofautishwa ama kwa kuongeza herufi "N" (=north) na "S" (south) au kwa alama za "+" (kaskazini) na "-" (kusini).
Digrii za latitudo hugawiwa katika umbali wa 60 dakika au minuti; dakika ya latitudo ni mita 1852 au maili moja ya kibahari. Dakika hugawiwa katika nukta au sekondi. Mfano: 13°19.717′ N.
Pamoja na namba ya longitudo inaonyesha mahali pakamilifu kwenye uso wa dunia.