Afrika ya Magharibi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.5.2) (roboti Badiliko: zh: |
d roboti Badiliko: zh: |
||
Mstari 131: | Mstari 131: | ||
[[wo:Sowwu Afrig]] |
[[wo:Sowwu Afrig]] |
||
[[yo:Ìwọòrùn Áfríkà]] |
[[yo:Ìwọòrùn Áfríkà]] |
||
[[zh: |
[[zh: |
Pitio la 12:32, 20 Januari 2011
Afrika ya Magharibi ni ukanda wa magharibi kwenye bara la Afrika.
Kwa kawaida huhesabiwa humo nchi zilizo kati ya jangwa la Sahara na Bahari ya Atlantiki. Upande wa mashariki ukanda huu unaishia kwenye mstari kati ya mlima Kamerun na ziwa Chad.
Katika lugha ya Kiarabu nchi za Afrika ya kaskazini-magharibi zinaitwa "Maghrib" yaani "Magharibi" lakini ni sehemu ya ukanda wa Afrika ya Kaskazini.
Ukanda wa Afrika ya Kakazini ya UM una nchi 16 zifuatazo pamoja na visiwa vya Kiingereza vya Saint Helena: