Papa Callixtus II
Mandhari
Papa Callixtus II alikuwa papa kuanzia 1 Februari, 1119 hadi kifo chake tarehe 13 Desemba, 1124. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Guido wa Vienna. Alimfuata Papa Gelasio II.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |