Ob
Mandhari
Mdomo | Bahari ya Kara |
Nchi | Urusi |
Urefu | 3,650 km |
Mkondo | 12,492 m³/s |
Eneo la beseni | 2,990,000 km² |
Miji mikubwa kando lake | Barnaul, Surgut, Salehard |
Ob (Kirusi: Обь) ni mto wa Urusi. Urefu wake ni 3650 km. Inapita katika mikoa ya Altai Krai, Novosibirsk Oblast, Tomsk Oblast, Mkoa Huru wa Hanty-Mansi na Mkoa Huru wa Yamalo-Nenets.