(Translated by https://www.hiragana.jp/)
Zlatibor - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Zlatibor

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.
Mlima Zlatibor

Zlatibor ni mlima wa Balkani (Ulaya), katika nchi ya Serbia.

Urefu wake ni mita 1,496 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Zlatibor kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.