Beregisi
Mandhari
![](https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/47/Lasne_Saint-Beregise.jpg/220px-Lasne_Saint-Beregise.jpg)
Beregisi (kwa Kifaransa: Bérégise au Bergis; Emptinne[1], leo nchini Ubelgiji, 670 hivi - Saint-Hubert, Ubelgiji, 725 hivi) alikuwa padri ambaye alianzisha monasteri ya kikanoni huko Andage [2][3] ambalo aliliongoza kwa makini hadi kifo chake.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Oktoba[4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Naissance de saint Bérégise, Emptinne, commune de Hamois.
- ↑ Vita Beregisi Andaginensis katika Acta Sanctorum, Oktoba, Vol. 1).
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/72630
- ↑ Martyrologium Romanum
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |