Mkoa wa Kaffrine
Mandhari
![](https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/9b/Kaffrine_in_Senegal.svg/220px-Kaffrine_in_Senegal.svg.png)
![](https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1b/Map_of_the_departments_of_the_Kaffrine_region_of_Senegal.png/220px-Map_of_the_departments_of_the_Kaffrine_region_of_Senegal.png)
Mkoa wa Kaffrine ni mkoa mmojawapo nchini Senegal. Makao makuu yako mjini Kaffrine . Eneo la mkoa ni kilomita za mraba 11,262. Wakati wa sensa ya mwaka 2013 mkoa ulikuwa na wakazi 566,992.[1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Senegal: Administrative division, tovuti ya citypopulation.de, iliangaliwa Januari 2022