Nyota ya bahari
Mandhari
![](https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/e/eb/Stmaris.gif/220px-Stmaris.gif)
Nyota ya bahari (kwa Kilatini: Stella Maris) ni sifa mojawapo iliyotumika kwa Bikira Maria tangu mwanzoni mwa Karne za Kati.
Kwa jina hilo anaheshimiwa na kukimbiliwa na mabaharia Wakatoliki katika hatari za safari majini.