Konklevu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Moshi mweusi kutoka Kikanisa cha Sisto IV ni ishara ya kwamba Papa mpya hajachaguliwa.[1]
Moshi mweupe ni ishara ya kwamba Papa mpya amechaguliwa.[1]
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Konklevu (kutoka Kilatini "cum clave", yaani "kwa ufunguo", kupitia Kiingereza "conclave") ni mkutano maalumu ya makardinali wote wenye umri chini ya miaka 80 unaofanyika ili kumchagua askofu wa Roma, maarufu kama Papa wa Kanisa Katoliki.

Lengo la kujifungia ndani tangu karne za kati ni kuzuia makardinali wasiingiliwe na watu wa nje, hasa watawala, ambao wanaweza kuwa na malengo tofauti na yale ya kiroho.

Kwa sasa kuna taratibu nyingi zilizopangwa kinaganaga, ambazo mojawapo ni kwamba wapigakura wasizidi 120.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Chumley, Cheryl K.. "What Do American Catholics Want in the Next Pope?", 12 March 2013. Retrieved on 15 March 2013. Archived from the original on 2017-07-07. 

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Pius X (25 December 1904). "Vacante Sede Apostolica". Apostolic constitution. Pii X Pontificis Maximi Acta. 3. (1908) pp. 239–288.
  • Pius XI (1 March 1922). "Cum Proxime". Motu proprio. AAS. 14. (1922) pp. 145–146.
  • Pius XI (25 March 1935). "Quae Divinitus". Apostolic constitution. AAS. 27 (1935) pp. 97–113.
  • Paul VI (15 August 1967). Regimini Ecclesiae Universae (in Latin). Apostolic constitution. AAS. 59. (1967) pp. 885–928. Vatican City.
  • John Paul II (28 June 1988). Pastor Bonus. Apostolic constitution. Vatican City: Vatican Publishing House.
  • Benedict XVI (11 June 2007). De aliquibus mutationibus in normis de electione Romani Pontificis. Apostolic letter. Vatican City: Vatican Publishing House.
  • Beal, John P.; Coriden, James A.; Green, Thomas J., eds. (2000). New Commentary on the Code of Canon Law. Mahwah, New Jersey: Paulist Press International. ISBN 978-0-8091-0502-1.
  • Burkle-Young, Francis A. (1999). Passing the Keys: Modern Cardinals, Conclaves, and the Election of the Next Pope. New York: The Derrydale Press. ISBN 978-1-56833-130-0
  • Kurtz, Johann Heinrich (1889). Church History 1. New York: Funk & Wagnalls. ISBN 978-0-217-33928-5.
  • Levillain, Philippe; O'Malley, John W., eds. (2002). "The Papacy: An Encyclopedia". Routledge. ISBN 978-0-415-92228-9.
  • Baumgartner, Frederic J. (2003). Behind Locked Doors: A History of the Papal Elections. Palgrave Macmillan. ISBN 978-0-312-29463-2.
  • Colomer, Josep M.; McLean, Iain (1998). "Electing Popes. Approval Balloting with Qualified-Majority Rule" Archived 20 Desemba 2012 at the Wayback Machine.. Journal of Interdisciplinary History (MIT Press) 29 (1): 1–22.
  • Duffy, Eamon (2006). Saints and Sinners: A History of the Popes (3rd ed.). Connecticut: Yale University Press. ISBN 978-0-300-11597-0.
  • Guruge, Anura (2010). The Next Pope After Pope Benedict XVI. WOWNH LLC. ISBN 978-0-615-35372-2.
  • Pastor, Ludwig von. "History of the Papacy, Conclaves in the 16th century; Reforms of Pope Gregory XV, papal bulls: Aeterni Patris (1621) and Decet Romanum Pontificem (1622)".
  • Reese, T. J. (1996). "Revolution in Papal Elections". America 174 (12): 4.
  • Wintle, W. J. (June 1903). "How the Pope is Elected". The London Magazine.
  • "Papal Conclave" Archived 21 Februari 2013 at the Wayback Machine. Catholic Almanac (2012). Huntington, Indiana: Our Sunday Visitor.
  • "Inside the Vatican: National Geographic Goes Behind the Public Facade". National Geographic Channel. 8 April 2004.
  • "How the Pope is Elected" Archived 26 Desemba 2017 at the Wayback Machine.. ReligionFacts.com
  • Signorotto, Gianvittorio; Visceglia, Maria Antonietta (2002). Court and Politics in Papal Rome, 1492–1700. Cambridge University Press. ISBN 9781139431415. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Konklevu kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.