(Translated by https://www.hiragana.jp/)
Papa Yohane XV - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Papa Yohane XV

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 16:21, 27 Julai 2022 na Daniuu (majadiliano | michango) (Masahihisho aliyefanya 2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni)
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)
Papa Yohane XV.

Papa Yohane XV alikuwa Papa kuanzia Agosti 985 hadi kifo chake mnamo Machi 996[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa pia Yohane.

Alimfuata Papa Yohane XIV akafuatwa na Papa Gregori V.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane XV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.